Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Kata ya Sandare, Temeke jijini Dar, Abina Ally akiwa Mahakamani.
MAJANGA! Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Kata ya Sandare, Temeke jijini Dar, Abina Ally Abina amejikuta akipandwa na presha kisha kuzimia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Tukio hilo ambalo lilikuwa gumzo lilijiri hivi karibuni mahakamani hapo ambapo Abina alikuwa miongoni mwa wafuasi 30 waliokamatwa kwa madai ya kufanya maandamano kutoka Temeke kwenda Zakhem na Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba.
MKASA MZIMA
Akisimulia mkasa mzima, mmoja wa wafuasi hao ambaye hakutaja jina alisema kuwa, tukio hilo la mwenyekiti wao kupatwa na presha na kuzimia lilitokana na kutomwamini mdhamini wake, Maulid Ngoyogo katika kutoa maelezo baada ya kuitwa na hakimu ili apatiwe dhamana.
MAJANGA! Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Kata ya Sandare, Temeke jijini Dar, Abina Ally Abina amejikuta akipandwa na presha kisha kuzimia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Tukio hilo ambalo lilikuwa gumzo lilijiri hivi karibuni mahakamani hapo ambapo Abina alikuwa miongoni mwa wafuasi 30 waliokamatwa kwa madai ya kufanya maandamano kutoka Temeke kwenda Zakhem na Mwenyekiti wa CUF Taifa, Prof. Ibrahim Haruna Lipumba.
MKASA MZIMA
Akisimulia mkasa mzima, mmoja wa wafuasi hao ambaye hakutaja jina alisema kuwa, tukio hilo la mwenyekiti wao kupatwa na presha na kuzimia lilitokana na kutomwamini mdhamini wake, Maulid Ngoyogo katika kutoa maelezo baada ya kuitwa na hakimu ili apatiwe dhamana.
0 Response to " MWENYEKITI WA CHAMA CHA CUF ALIZIMIA MAHAKAMANI! "
Post a Comment